Kwa matangazo ya video na Picha .. 📱 Tupigie simu 0742100740 📧 Email Shafiishayani@gmail.com WhatsApp 0689079948

Monday 10 July 2023

Senegal: Boti iliyobeba Wahamiaji 200 yapotea kwenye maji

 Waokoaji wa Uhispania wanaendelea na msako wa mashua hiyo karibu na Visiwa vya Canary ambapo inadaiwa haijulikani ilipo tangu ilipoanza safari zaidi ya wiki moja iliyopita.


Kundi la misaada la Walking Borders linasema boti hiyo ya wavuvi ilisafiri kutoka Mji wa Kafountine, Kusini mwa Senegal uliopo kilomita 1,700 kutoka Tenerife, ikidaiwa pia ilikuwa imebeba Kundi la Watoto kadhaa.


Wakati huohuo, boti nyingine mbili zilizobeba watu 65 na 60 nazo zinadaiwa kupoteza kwenye maji hivyo kufanya idadi ya watu ambao hawajulikani walipo ndani ya wiki moja

kuwa zaidi ya 325.

No comments:

Post a Comment

MIUNDOMBINU YA SHULE YA MSINGI MAGOMENI.

Wiki mbili baada ya mwandishi wa habari wa Gazeti la Nipashe kuzungumza na uongozi wa Wilaya ya Tunduru kutaka kujua kwanini Shule ya Msingi...