Kwa matangazo ya video na Picha .. 📱 Tupigie simu 0742100740 📧 Email Shafiishayani@gmail.com WhatsApp 0689079948

Sunday 8 October 2023

TAKRIBANI WATU 590 WAFARIKI KATIKA MAPIGANO YA ISRAEL NA HAMAS

ISRAEL/GAZA: ZAIDI YA WATadi hiyo inajumuisha vifo takriban 350 vya Raia wa Israel na Wapalestina zaidi 230 ambao wametajwa kupoteza maisha kufuatia majibizano ya Mashambulizi kati ya Kundi la HAMAS kutoka Palestina na Jeshi la Israel Mapigano yanaendelea hadi sasa ambapo Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu ameapa kuzisambaratisha ngome zote za HAMAS zilizopo katika Mji wa Mpakani wa Gaza Ripoti zinaeleza kuwa zaidi ya Watu 2,000 wamejeruhiwa katika mashambulizi hayo. Hadi sasa HAMAS wanadai wanawashikilia zaidi ya Wapiganaji 100 wa Israel. ======= Gunmen from the Palestinian group Hamas rampaged through Israeli towns on Saturday, killing at least 250 Israelis and escaping with dozens of hostages in by far the deadliest day of violence in Israel since the Yom Kippur war 50 years ago. More than 230 Gazans were also killed when Israel responded with one of its most devastating days of retaliatory strikes. Fighting continued into the night. "We will take mighty vengeance for this wicked day," Prime Minister Benjamin Netanyahu said. Advertisement · Scroll to continue "Hamas launched a cruel and wicked war. We will win this war but the price is too heavy to bear," he said. "Hamas wants to murder us all. This is an enemy that murders mothers and children in their homes, in their beds. An enemy that abducts elderly, children, teenage girls." Hamas leader Ismail Haniyeh said the assault that had begun in Gaza, a narrow strip that is home to 2.3 million Palestinians, would spread to the West Bank and Jerusalem. Gazans have lived under an Israeli blockade for 16 years.

No comments:

Post a Comment

MIUNDOMBINU YA SHULE YA MSINGI MAGOMENI.

Wiki mbili baada ya mwandishi wa habari wa Gazeti la Nipashe kuzungumza na uongozi wa Wilaya ya Tunduru kutaka kujua kwanini Shule ya Msingi...