Kwa matangazo ya video na Picha .. 📱 Tupigie simu 0742100740 📧 Email Shafiishayani@gmail.com WhatsApp 0689079948

Thursday 27 July 2023

Mkutani wa kimataifa wa Julius nyerere Dar es salaam

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Kenya, Mhe. William Ruto, Rais wa Malawi, Mhe. Dkt. Lazarus Chakwera, Rais wa Madagascar, Mhe. Andry Rajoelina, Rais wa São Tomé na Principe, Mhe. Carlos Vila Nova pamoja na Rais wa Sierra Leone, Mhe. Julius Maada Bio wakati wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Kuhusu Rasilimali Watu (Africa Heads of State Human Capital Summit) uliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam Julai 26, 2023

No comments:

Post a Comment

MIUNDOMBINU YA SHULE YA MSINGI MAGOMENI.

Wiki mbili baada ya mwandishi wa habari wa Gazeti la Nipashe kuzungumza na uongozi wa Wilaya ya Tunduru kutaka kujua kwanini Shule ya Msingi...